Posts

Showing posts from July, 2019
Image
VIWANDA VYA KUCHAKATA TAARIFA.?? Kama mtu akikuuliza maswali yafuatayo, unajisi majibu yako yatakuwa ni yapi? 1. Jengo la picha namba moja unahisi linahusiana na nini? 2. Jengo la picha namba mbili ni nyumba ya kuishi au hoteli? Nina amini kabisa majibu mengi yatakuwa kama ifuatavyo… 1. Jengo namba moja ni kiwanda… na inawezekana ni kiwanda kinachohusiana na masuala ya nishati au kemikali. 2. Jengo kwenye picha namba mbili ni aina ya hotel ya nyota tano. Majibu mengi yatakuwa yanafanana na hayo hapo juu na kwa kawaida utakuwa sahihi kabisa… isipokuwa tu hautakuwa umepatia hata nusu ya jawabu. Picha zote mbili ni picha za kituo data (data center). Katika karne ya 18, 19 na 20 wafanyabiashara wenye mitaji mikibwa na makampuji walikuwa wanajenga majengo makubwa ya viwanda. Na wale ambao walikuwa mahiri kwenye uanzishaji na uendeshaji wa viwanda ndio ambao walikuwa wanashamiri kwa kipato na hatimaye kuwa matajiri. Matajiri wote wakubwa wa miaka hiyo… toka kwa wanasa
Image
MAAJABU YA KABILA LA KIKAYAN⠀ Kabila hili linapatikana katika nchi ya MYANMAR wanawake wa kikayan huanza kuvaa bangili shingoni toka Wakiwa wadogo Sana na kadri wanavyo zidi kukua bangili mpya huongezwa⠀ Shingo za wanawake hawa hurefuka kiasi cha kwamba wakizivua kichwa huangukia begani na kuwasababishia kifo bangili hizo huvuliwa chini ya uangalizi wa daktari ⠀ wanaume wa kikayan wao hawaoi mwanamke asiye na bangili shingoni⠀ mpaka sasa hakuna mtu anaye jua utamaduni huu alianzisha Nani na kwa sababu gani Hawa wanawake wameweza kuzitoa bangili kwa msaada wa madaktari.Hapo wakitingishwa kwa nguvu kidogo tu wanakufa. Huyu mtoto ndio kwanza ameanza na bangili chache lakini kadiri anavyokuwa ndio pingili mpya huongezwa. Shingo ikifikia urefu huu huwa misuli yake inalegea kabisa. Gusa hapo chini kutazama video
Image
MAAJABU YA DUNIA:KUTANA NA MAKABURI YA KIFAHARI YANAYOZIDI NYUMBA ZA MATAJIRI...YANA HADI VIYOYOZI  Maishani, watu wengi hutaka kuishi katika nyumba nzuri na za kifahari. Wengi huwa hawafanikiwi. Lakini nchini Mexico, ambapo ulanguzi wa mihadarati umekithiri, wakuu wa magenge ya ulanguzi wa dawa za kulevya huishi maisha ya kifahari, na huendeleza hizi hata wanapokuwa wafu. Nchini humo, utapata makaburi ambayo yangegeuzwa kuwa nyumba, matajiri wengi wangejivunia kuishi.Ni makaburi makubwa yaliyojengwa na kuwekwa huduma za kisasa na vitu vingi vya anasa. Kuna baadhi ya makaburi yenye viyoyozi vya kudhibiti viwango vya joto na kuingiza hewa safi, kuna vioo visivyopenya risasi na baadhi yana hata vyumba ambavyo wageni wanaofika kutoa heshima kwa wafu, wanaweza kuketi na kupata kila kitu kinachopatikana katika nyumba za kifahari. Baadhi yanakadiriwa kugharimu hadi £230,000 (Sh633 milioni za Tanzania; Sh29 milioni za Kenya) Hali hii ni tofauti kabisa kwa maelfu ya watu wanaouawa k